Lilian Clement

Lilian Clement Lilian Clement
Specializes in Land
Mfuluni , 6789, Dar es Salaam, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
7 active listings
Personal seller
Last online 1 year ago
Registered for 2 years
About seller
Selling lands, Buildings (Commercial & Residential), Houses & plots renting, plot survey and much more..

Latest Products

Lilian Clement Lilian Clement 1 year
Land 1 year
Shamba linauzwa ekari 200
TZS 700,000
Shamba linauzwa ekari 200
Mashamba mazuri yanauzwa :morogoro kingolwira :mashamba ni mazuri kwa mazao yote ususan kwa kilimo Cha alizeti,ufuta ardhii nzur yake ni nzuri bado bikra haija limwa sana
Land
TZS 700,000
Lilian Clement Lilian Clement 2 years
Land 2 years
Shamba linauzwa bagamoyo kiwangwa
TZS 600,000
Shamba linauzwa bagamoyo kiwangwa
Shamba linauzwa lipo bagamoyo kiwangwa zipo ekari 300 Bei ni laki sita kwa ekari moja maongezi yapo Shamba ni zuri ..mazao Kama nanaso,mahindi ,mihongo n.k yanastawi vizuri kabisa shamba lipo kilometer tano kutoka barabara ya rami
Land
TZS 600,000
Lilian Clement Lilian Clement 2 years
Real Estate 2 years
Shamba la ekari 10
TZS 30,000,000
Shamba la ekari 10
*Shamba la Ekari 10 linauzwa Chalinze mjini*(CHANG'OMBE STREET) *Distance* Shamba liko Kilometer 1 tu kutoka Barabara ya lami ya Morogoro road -Ndani ya shamba kuna miembe na michungwa na nyumba ya wafanyakazi -Shamba linafaa kwa kilimo cha mahindi mihogo na kadhalika -Document; Hati ya mauziano ya selikali za mitaa ( Shamba limepimwa Hati miliki itatoka kwa...
Real Estate
TZS 30,000,000
Lilian Clement Lilian Clement 2 years
Everything 2 years
Land for sale
TZS 500,000
Land for sale
Shamba zuri lenye rutuba linauzwa zipo heka 200 kila heka Bei ni shilingi laki tano(500000) Kila zao linakubali hapo Umbali wa shamba ni kilometer sita kutoka barabarani
Everything
TZS 500,000
Lilian Clement Lilian Clement 2 years
Everything 2 years
Land for sale
TZS 600,000
Land for sale
Mashamba mazuri ardhi nzuri yenye rutuba inakubali mazao yote zipo heka 300(300acres) Kila heka ni shilingi laki sita(600000) Yapo bagamoyo kiwangwa Kutoka barabarani Hadi shamba lilipo ni kilometer sita
Everything
TZS 600,000
Lilian Clement Lilian Clement 2 years
Land 2 years
Land for sale
TZS 800,000
Land for sale
Mashamba yanauzwa morogoro Mashamba yapo ya kawaida na yapo ya mtoni.Mashamba ni mazuri hardhi nzuri haiitaji mbolea..zipo heka nyingi tunauza heka moja kwa Bei ya 800,000
Land
TZS 800,000
  • 1
Are you a professional seller? Create an account