KIWANJA KINAUZWA BUSWELU WILAYANI ( ROUND ABOUT YA CITY LINK ) -ukubwa wa kiwanja ni sqm 2,054 -vipo viwanja viwili vimeungana -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -kiwanja cha 3 kutoka barabara ya lami -kiwanja kipo mtaa mzuri ulojengeka sana ☎️ Wasiliana Nasi 0743 220097
Plot ipo mapinga km 3 toka barabara ya bagamoyo ina hati zote huduma zote zipo kama maji umeme na barabara nzuri kiwanja kina fence ya matofari ya cement na geti tayari hati kamili ipo kimepimwa na ardhi Wasiliana nasi maongezi yapo
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA -Mahali: buswelu center ( mbogamboga ) -ukubwa wa kiwanja sqm 630 -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -bei Tsh Milioni 65 -mazungumzo yapo ☎️ 0743 220097
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA MABATINI -ukubwa wa eneo ni sqm 2,273 -eneo lina hati miliki ya wizara -matumizi ni makazi & biashara -bei Tsh Milioni 500 ☎️ 0743 220097
A rare opportunity to own a 5160 sqm residential plot strategically located along Mwai Kibaki Road in Kawe. The property features three existing buildings within the compound, offering excellent potential for redevelopment or immediate use. Key Features: 📍 Location: Kawe, facing Mwai Kibaki Road 📐 Size: 5,100 square meters 🏠 Includes: Three on-site buildings...
Vinauzwa viwanja vilivyopimwa kuanzia sqm 400 hadi sqm 600 bei ni 6.5 milioni mpaka 9m ,viwanja vipo kelege Matumbi km 2 toka bagamoyo road piga 0754292666 kwa maelezo zaidi
Land for sale, Mashamba yanauzwa zaidi ya ekari 2000. Yanauzwa kunzia ekari 500 Yanapatikana Njombe Mfiriga. Yanafaa kwa kulimo cha parachichi, Nanasi, miti, maharage, mahindi na mazao mengine pia pori zuri kwa ufugaji nyuki.
Ninauza viwanja na mashamba dodoma, mji wa serikali mtumba, viwanja vimepimwa na vina hati, mashamba yanapatikana kuanzia hekari moja ila mashamba hayajapimwa.
KIWANJA KINAUZWA NERA -kiwanja cha kwanza lami ( airport road ) -mahali; karibu na ofisi za bank kuu (BOT) -ukubwa wa kiwanja ni sqm 810 -kina hati miliki ya wizara ( 99 years ) -matumizi; makazi na biashara ☎️ 0743 220097
A 22 acres land for sale at Kidire, King'ori-Arusha. 9km from the junction of Kilimanjaro International Airport (KIA) and Arusha-Moshi road along Liwati Bypass, The land is ideal for farming and other projects such as establishment of a school, hotel etc...The price is 6,000,000 per acre.