Ninauza viwanja na mashamba dodoma, mji wa serikali mtumba, viwanja vimepimwa na vina hati, mashamba yanapatikana kuanzia hekari moja ila mashamba hayajapimwa.
Read more
Specs
Property Size Sq Ft4900
Description
Ninauza viwanja na mashamba dodoma, mji wa serikali mtumba, viwanja vimepimwa na vina hati, mashamba yanapatikana kuanzia hekari moja ila mashamba hayajapimwa.
TWO WEEKS OFFER TOWARDS CHRISTMAS & NEW YEAR CELEBRATIONS! 🎄✨ 🌿 Unlock Your Green Investment Opportunity in Arusha! 🌿 This modern Green House for Sale in the peaceful Engosheraton area (near Edmund Rice School) is the perfect opportunity for agribusiness investors ready to scale! 🌱🏡 🏠 KEY FEATURES: •500 SQM spacious plot •Strong & durable Poly House ...
» Tandika Sudan. » Pamechangamka, pazuri kwa miradi ya uwekezeji. » Kuna jengo ndani linaweza kutumika kama ghala/warehouse. » Miundombinu (maji, umeme mkubwa, barabara ya lami) yote ipo. » Ukubwa wa eneo sqm 4,000+ • Hati ya wizara • Bei TSh bilioni 2.7 . #InRealEstateWeConnect
KIWANJA KINAUZWA BUSWELU WILAYANI ( ROUND ABOUT YA CITY LINK ) -ukubwa wa kiwanja ni sqm 2,054 -vipo viwanja viwili vimeungana -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -kiwanja cha 3 kutoka barabara ya lami -kiwanja kipo mtaa mzuri ulojengeka sana ☎️ Wasiliana Nasi 0743 220097
KIWANJA KINAUZWA JIRANI NA OFISI ZA HALMASHAURI YA ILEMELA -ukubwa wa kiwanja ni sqm 1,201 -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -bei Milioni 90 -mazungumzo yapo -kiwanja kipo karibu kabisa na barabara ya lami ☎️ Wasiliana Nasi 0743 220097
KIWANJA KINAUZWA NA MWENYEWE MBEZI LUGURUNI KWEMBE MADUKA SITA KARIBUBNA KANISA LA TAG SILOAMU. KIKO UMBALI WA KILOMITA 3 TOKA MAIN ROAD (MOROGORO ROAD) AREA : SQMT 930 PRICE : MIL 33 MAONGEZI YAPO UMILIKI: MKATABA WA MAUZIANO, KIMESHAPIMWA HATI ITATOKA KWA JINA LA MMILIKI MPYA HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ELF 30. HII HAIHUSISHI USAFIR...
LandMbezi Luguluni Kwembe Maduka 6 Karibu Na Kanisa La Tag Siloamu
KIWANJA KIZURI SANA KINAUZWA SALASALA MWANZO, KIMEGUSA LAMI YA SALASALA NA NI TAKRIBANI MITA 200 TOKA BAGAMOYO ROAD. KINAFAA SANA KWA MAKAZI, APARTMENTS, HOTEL, KUWEKA SHOPING CENTER, YARD. NK AREA : SQMT 2000 PRICE : MIL 600 UMILIKI: HATI HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ELF 50. HII HAIHUSISHI USAFIRI. CONT. CALL Whatsapp &sms +255715...
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA MABATINI -ukubwa wa eneo ni sqm 2,273 -eneo lina hati miliki ya wizara -matumizi ni makazi & biashara -bei Tsh Milioni 500 ☎️ 0743 220097
ENEO ( BEACH PLOT ) INAUZWA NYANGUGE -ukubwa wa eneo ni heka nne (4) -eneo ni la kwanza kutoka ziwani -umeme, maji na barabara vipoo -bei Milioni 45 + Wasiliana Nasi ☎️ 0743220097
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA -Mahali: buswelu center ( mbogamboga ) -ukubwa wa kiwanja sqm 630 -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -bei Tsh Milioni 65 -mazungumzo yapo ☎️ 0743 220097
🔔Nyuma ya Mahakama kuu katika mtaa ulio jengeka na kupangiliwa vizuri bila kusahau ni karibu sana na mjini kinauzwa kiwanja kizuri kwaajili ya makazi.💯 Karibu Mkalama Block - CC ______ SQM 590 kinauzwa Milioni 40💰 ———— >>KM 1 Kufika Ilipo Mahakama Kuu. >>KM 2 Kufika ulipo ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete. >>KM 2 Kufika Chuo Kikuu (UDOM)...
A very potential 135.927 deeded acres of Land/Farm available for sale at TZS 2,500,000/= per acre, conveniently located at Mwada village, Burunge "B" sub village (Mbuyu wa Mjerumani) in Manyara Region. The Land is 4.8 km off Arusha-Babati road and it is bordered by Oridoy forest reserve to the North. It is ideal for establishment of Tourism facilities and Ag...