Kiwanja kizuri sana kinauzwa: Ni kiwanja cha pili kutoka lami mpya ya mivumoni (madalae) na mtaa wa mzuri sana Ukubwa-sqm 1225 Umiliki- Hati miliki Bei-ml 185 maongezi yapo Location- madale mivumoni Umbali-mita 50 kutoka lami na ni plot ya 2 MAWASILIANO: +255713972615/ |+255621036800
Hizi ni SQM 1280 zipo nyuma ya Sheli ya Iyumbu✅ Unaweza kuafanya uwekezaji wa kibiashara au makazi ya kuishi Iyumbu ipo....👇 >>Ni karibu na chuo kikuu cha UDOM.✅ >>Pia ni karibu kabisa na Hospitali ya Benjamini Mkapa.✅ >>KM 8 kufika mjini kati.✅ >>Huduma za kijamii zinapatikana 24/7.✅ >>Matumizi Makazi na Biashara Ukiwekeza hapa...
KIWANJA KINAUZWA NA MWENYEWE MBEZI LUGURUNI KWEMBE MADUKA SITA KARIBUBNA KANISA LA TAG SILOAMU. KIKO UMBALI WA KILOMITA 3 TOKA MAIN ROAD (MOROGORO ROAD) AREA : SQMT 930 PRICE : MIL 33 MAONGEZI YAPO UMILIKI: MKATABA WA MAUZIANO, KIMESHAPIMWA HATI ITATOKA KWA JINA LA MMILIKI MPYA HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ELF 30. HII HAIHUSISHI USAFIR...
LandMbezi Luguluni Kwembe Maduka 6 Karibu Na Kanisa La Tag Siloamu
KIWANJA KIZURI CHA MAKAZI NA BIASHARA KINAUZWA HAPA OYSTERBAY DODOMA, KWA WEWE MUWEKEZAJI WA APARTMENT NA MADUKA TAYARI TUMEKUANDALIA RAMANI YA MAJENGO UNAWEZA KUONA IDADI YA NYUMBA ZITAKAZO WEZA KUKAA. UTAONA IDADI YA MADUKA YANAYO WEZA KUKAA HAPA, ✅Matumizi ni Makazi na Biashara SQM - 1100, Kiwanja hiki ni cha kwanza Barabara mpya ya Lami ya Oysterbay - un...
🔔Nyuma ya Mahakama kuu katika mtaa ulio jengeka na kupangiliwa vizuri bila kusahau ni karibu sana na mjini kinauzwa kiwanja kizuri kwaajili ya makazi.💯 Karibu Mkalama Block - CC ______ SQM 590 kinauzwa Milioni 40💰 ———— >>KM 1 Kufika Ilipo Mahakama Kuu. >>KM 2 Kufika ulipo ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete. >>KM 2 Kufika Chuo Kikuu (UDOM)...
» Michamvi Pingwe in South Unguja. » The plot is developed. » The plot is facing Indian Ocean and has accessible road & power. » Plot area is 194,253 sqm. » Over 100 meters beach strip. » Has clean title deed » Ideal for villa, resort, etc. » $ 8 million . #InRealEstateWeConnect #tanzania🇹🇿
Vinauzwa viwanja vilivyopimwa kuanzia sqm 400 hadi sqm 600 bei ni 6.5 milioni mpaka 9m ,viwanja vipo kelege Matumbi km 2 toka bagamoyo road piga 0754292666 kwa maelezo zaidi
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA MABATINI -ukubwa wa eneo ni sqm 2,273 -eneo lina hati miliki ya wizara -matumizi ni makazi & biashara -bei Tsh Milioni 500 ☎️ 0743 220097
Land for sale, Mashamba yanauzwa zaidi ya ekari 2000. Yanauzwa kunzia ekari 500 Yanapatikana Njombe Mfiriga. Yanafaa kwa kulimo cha parachichi, Nanasi, miti, maharage, mahindi na mazao mengine pia pori zuri kwa ufugaji nyuki.
JUMLA YA VIWANJA (27) VINAUZWA MWANZA - KISESA -mahali; kasaa zoo jirani na shule ya sekondari kilimanjaro -ukubwa ni 22x20 -umeme, barabara na maji vipo -bei Milioni 4 kwa kila kimoja -ruksa kununua kimoja au zaidi NB:- Malipo ni Cash au Awamu ☎️ 0743220097
Plot ipo mapinga km 3 toka barabara ya bagamoyo ina hati zote huduma zote zipo kama maji umeme na barabara nzuri kiwanja kina fence ya matofari ya cement na geti tayari hati kamili ipo kimepimwa na ardhi Wasiliana nasi maongezi yapo