🔔Nyuma ya Mahakama kuu katika mtaa ulio jengeka na kupangiliwa vizuri bila kusahau ni karibu sana na mjini kinauzwa kiwanja kizuri kwaajili ya makazi.💯 Karibu Mkalama Block - CC ______ SQM 590 kinauzwa Milioni 40💰 ———— >>KM 1 Kufika Ilipo Mahakama Kuu. >>KM 2 Kufika ulipo ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete. >>KM 2 Kufika Chuo Kikuu (UDOM)...
🚨KIWANJA KIZURI CHA MAKAZI NA BIASHARA KINAUZWA HAPA OYSTERBAY DODOMA, HII NI CORNER PLOT UNAYOWEZA KUJENGA FRAME NA APARTMENTS KWA PAMOJA ✅Matumizi ni Makazi na Biashara SQM - 1000+. Kiwanja hiki ni cha kwanza Barabara mpya ya Lami ya Oysterbay - unaweza kuwekeza makazi na fremu za Maduka au Hotel🔥 Sifa za eneo.....👇 ✴️KM 1 adi ilipo mahakama kuu mpya ✴️KM ...
TWO WEEKS OFFER TOWARDS CHRISTMAS & NEW YEAR CELEBRATIONS! 🎄✨ 🌿 Unlock Your Green Investment Opportunity in Arusha! 🌿 This modern Green House for Sale in the peaceful Engosheraton area (near Edmund Rice School) is the perfect opportunity for agribusiness investors ready to scale! 🌱🏡 🏠 KEY FEATURES: •500 SQM spacious plot •Strong & durable Poly House ...
Kiwanja kizuri sana kinauzwa: Ni kiwanja cha pili kutoka lami mpya ya mivumoni (madalae) na mtaa wa mzuri sana Ukubwa-sqm 1225 Umiliki- Hati miliki Bei-ml 185 maongezi yapo Location- madale mivumoni Umbali-mita 50 kutoka lami na ni plot ya 2 MAWASILIANO: +255713972615/ |+255621036800
Ninauza kiwanja changu Kibaha Visiga-Madafu Ukubwa Square meter 400 Umbali kutoka barabara kuu km 3.5 Usafiri pikipiki 1500 panafikika kwa aina zote za usafiri Umeme wa TANESCO na Maji ya DAWASA pamoja na huduma nyingine za kijamii zinapatikana. Kiwanja kipo sehemu Tambarale na nzuri Bei ni milioni 8.5 |Maelewano yapo kidogo Piga 0745666061 |Mimi ndio Mmilik...
A rare opportunity to own a 5160 sqm residential plot strategically located along Mwai Kibaki Road in Kawe. The property features three existing buildings within the compound, offering excellent potential for redevelopment or immediate use. Key Features: 📍 Location: Kawe, facing Mwai Kibaki Road 📐 Size: 5,100 square meters 🏠 Includes: Three on-site buildings...
» Tandika Sudan. » Pamechangamka, pazuri kwa miradi ya uwekezeji. » Kuna jengo ndani linaweza kutumika kama ghala/warehouse. » Miundombinu (maji, umeme mkubwa, barabara ya lami) yote ipo. » Ukubwa wa eneo sqm 4,000+ • Hati ya wizara • Bei TSh bilioni 2.7 . #InRealEstateWeConnect
Nauza kiwanja changu kipo vikindu magodani karibu na dar es salaam zoo. Ukubwa ni 50 kwa 40 ni kikubwa Kipo barabarani mahitaji yote yanapatikana, Mill 2.8 No 0759324418
KIWANJA KINAUZWA MADALE MBOPO, KIMESHALIPIWA DDC, KIKO UMBALI WA KILOMITA 1 TOKA BARABARA YA MADALE MBOPO AREA : SQMT 850 PRICE : MIL 40 UMILIKI: HATI HUDUMA ZOTE ZIPO... GHARAMA YA KUPELEKWA SITE NI SH ELF 30. HII HAIHUSISHI USAFIRI. CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @exc...
KIWANJA KINAUZWA BUSWELU WILAYANI ( ROUND ABOUT YA CITY LINK ) -ukubwa wa kiwanja ni sqm 2,054 -vipo viwanja viwili vimeungana -kina hati miliki ya wizara -matumizi ya kiwanja ni makazi na biashara -kiwanja cha 3 kutoka barabara ya lami -kiwanja kipo mtaa mzuri ulojengeka sana ☎️ Wasiliana Nasi 0743 220097